My Lady Lyrics
- Genre:Afrobeat
- Year of Release:2024
Lyrics
My Lady - B2r Nation
...
Beat
I swear
baby
me ndo wako mateka aah
Chochote utachonipa natosheka aah
Moyo wangu ndo kabisa ushaologeka aah
We ndo sababu me kufighhtt
Japo hali ngumu haikuwa rahisi
Ulinigea vimbinu na mikakati kwa malengo nifike (2) aahh
kwa wakatiii
Aah ona*2
Siku nikikukosa itaniuma aah
Naona noma sijui umesoma
Hakika nitakutaja kila kona
My lady
Eeh eeh
My baby
Ooh ooh
My lady
Iyaah iyaah
My baby
Ooh ooh
My lady
Iyaah iyaah
My baby
Ooh ooh
Beats ***+*+
The way unavyofanya
Usije kunisusa
Me nakupenda sana
Na sitaweza juta
Utanichanganya siku ukinitupa
Siwezi kudanganya ila naweza k&fa
Ona ona siku nikikukosa itaniuma
Naona noma sijui umesoma
Hakika nitakutaja kila kona
My lady
Eeh eeh
My baby
Ooh ooh
My lady
Iyaah iyaah
My baby
Ooh ooh
My lady
Iyaah iyaah
My baby
Ooh ooh
Beats $”””””””
Written by B2r Nation