- Genre:Bongo Flava
- Year of Release:2014
Lyrics
Upepo - Recho Kizunguzungu
...
huuu huuu haaa haaaa haaa
usijaribu kuvaa sweta
nachotaka mi ni kuwa na wewe naomba unielewee
bridge
huuuhuuu baby... moyo waniuma mpaka nasemaa.. mpaka najihisi sio mzima nafsi inaniuma siishi kuhema mpaka najihisi sio mzima unaniumizaaah unaniliizah unaniumizaah mpaka najihisi kwamba sio mzima
chorus
ona umekimbiaa umejichoma.. aaah umejichoma.. ona umekimbia umejichoma aaaah... umejichoma ona kwa aibu.. umejichoma aaah.... umejichoma...ona umekimbia umejichoma aaah... umejichoma.. aahhhh
hook
aiyeiyeiye.... eeeeh×4
.........
yeyeiyeee×4
verse2
umeniachia vidonda moyoni vitapona lini niwe tabibu mwenye tiba yakini.. kwa yangu afueni.. nachotaka mi ni kuwa na wewe naomba unieleweee...iyeee.. huuuh... babyy....iiihhh..
umeniachia vidonda moyoni vitapona lini niwe tabibu mwenye tiba yakini... kqa yangu afueni.. nachotaka mi ni kuwa na wewe naomba unielewee..iyee.. huuuh..babyy..ihhhh
bridge
huuhuhuuu.... baby..... iiihhh... moyo waniuma siishi... kusemaah... mpaka najihisi.. sio mzimaa... nafsi inaniuma siishi... kusemaa... mpaka najihisi... sio mzima.. unaniumiza...h unanilizaah.. unaniumizaaah... mpaka najihisi kwako sio mzima...
chorus.....
........