Loading...

Download
  • Genre:Afrobeats
  • Year of Release:2022

Lyrics

Yeah, you already know

Eeheee, you know what eK

Tatizo ni kwamba sina tatizo broo

Ooh Jeez it's eK


Alidai ye ni rapper na ameshika kila section

Kumbe ananuka kikwapa na anafanya masturbation

Ye ni superstar cha ajabu hanaga reaction

Anataka fika far analilia promotion

She's my sister haezi kataa coz juzi alifanya abortion

Na anashangaa ninavo ng'aa she gat the less ambition

Kwanza we ni mshamba mjini unaishi bila ration

Life yako imekua ngumu umepoteza direction

Huwezi shindana na mimi am the king of the nation, na

Mi ni mkali sio mentaly kama wewe

Haunaga mabawa unataka kujiita mwewe

Kitaani natambulika usonijua ni wewe

Kama kurunzi namulika wanapatwa kiwewe

Eti wanadai nipo slow ninavo flow

Wamesahau, Painkiller mi nawika kaa jogoo

Nawachoma na mistari wananywea ka jongoo ooh

Wakifunua huwaga mi nafunika

Kwa yangu rap style watakimbiza kilo metre

Sio sita, wote hao ni masister

Walisema sitoweza cheki ninavo wafunika

Wana ungulika, kwenye game nimekita

Mizizi sita na nawacheza zaidi ya gita

Hua naplay hard najua nitakua fame

Usijigambe ngoma yako kuchezwa pwani fm

Hio ni air play tuu ila hapa kwangu hauna say

Win and stay, nataka unielewe okay

Ukijigamba na mistari, nitakumeza kama mamba

Mi ni moto kaa mbali hapa kwangu huwezi tamba

We ni mshamba, nitakuosha kwa maji

We ni maiti kula pamba

Kwanza we ni one GB you are not on my level

Na ukinifwatilia ntakupoteza kama devil oooh shiiiit


Kama hutaki matatizo kufa

Maana matatizo ni sehemu ya maisha

Umelala wenzio tunakesha

Kisha tukipata unaleta mapressure

Kama hutaki matatizo kufa

Maana matatizo ni sehemu ya maisha

Umelala wenzio tunakesha

Kisha tukipata unaleta


Mkali wako ananisifia saa utaniambia nini

Mwanaume napo ongea niskize kwa makini

Neno langu lina okoa kaa vitabu vya dini

Ndo maana namba ziro siishiki nawaachia nyinyi

Ni akili timamu kutoka Dope Gang

Story za upuzi tulizi cancel

Hapa kazi juu ya kazi till we make it rain yeeh yeeh

Wamekubali me ndo king, watoto wamelegeza

Nilikua down sina bling saizi napendeza

Na penya anga zao, na shine bila wao

Ni hustler mdogo sinaga pupa

Nawashangaza vigogo wanashtuka

Hii ni love ya mafuns, love ya wazazi, bless za mpaji

Ma haters mko wapi, mnanichukia ila mna penda nacho fanya

Kitu sitaki hua nishobo nawakanya

Binadamu hawasemoki, hata yesu walimkana, na

Napambana kila kukicha, sioni mwangwa ni mapicha picha

Ila, maisha ni vita walisema wahenga

Round hii haamli beef mtakula machungu ma haters

Napiga mangoma na eK nawatatiza brain

Na hizi flow zalewesha, utadhani ni cocaine

Na hizi flow zalewesha, utadhani ni cocaine


Kama hutaki matatizo kufa

Maana matatizo ni sehemu ya maisha

Umelala wenzio tunakesha

Kisha tukipata unaleta mapressure

Kama hutaki matatizo kufa

Maana matatizo ni sehemu ya maisha

Umelala wenzio tunakesha

Kisha tukipata unaleta

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status