![Wanyabi Cypher New Year Chapter](https://source.boomplaymusic.com/group10/M00/01/05/9abdacf98d954de5814bbd7b38bd87ad.jpg)
Wanyabi Cypher New Year Chapter Lyrics
- Genre:Afrobeats
- Year of Release:2021
Lyrics
Wanyabi Cypher New Year Chapter - Wanyabi
...
beat by cat p
WANYABI CYPHER
korogwe finance baby
asante kunifanya niweimara
uliyebadili mringoti dhaif kuwa mnala
mlinzi wa roho yang inayokesha mi nikilala
maana wanang wafaida ndo wananitiaga hasara
sa wakwapi tukiwamini wakatusaliti
wengne walijifanya wanaharakati
kumbe wazandik wanatupiga busu la unafiki
wakilo upewi kijiko labda kisu na maaaji
niwewe mungu uliyefanya leo ikawa
mwarubaini mchungu ukaufanya nidawa
cheki wanatupa ndugu wanakumbatia chawa
ulale pema bibi nesi mi nipo sawa
mungu baba naomba ibariki na serikali
wape akili na mabinti wanaojita pic kali
maana maisha ni safari
kunamwisho wa uhuni
nakabur ndo mlaaango wakuingilia mbinguni
hey naish kwa peaceful na ninahappy
hajanipa mkwanja kakinimbi nikoflash
mwing jah ananiona nafsi
ameniweka seif place kanipa ufamous
kama unafanya basi fanya kwa kuwin (though)
kama unaziro ukipambana inakuwa mia (bro0)
mafungu saba mi ndo kwanza na lapili
naukinipa mke minaichoma (goo)
ninaekutana nae nasababu amesha sema
kila nae achana nae nijifunze unavyosema
sina gang sina crue pekyako ndo inatosha
nilipe na bia kaja hukukwa wanyabi sasa
heti huwez achana nae unazingua ujue
wengne watasema unaiga watu iliwachujue
wanakuchora ukitoboa tulisema sie
mungu hapend wanafki na ndo maana (anawachomaga)
kwa meng umenitendea naitaj kukushukuru
umenipa pumz bure napumua unidai ushuru
sinabudi kujirudi hata nisipokosa
maana kifo hunikumbusha muosha mait nae huoshwa
sitochoka kukwabudu mpaka ipigwe parapanda
unipokee hiyo siku ntayokuja nimevaa sanda
usiku kiza mchana mwanga,
nyumba mchawi, nyumba mganga
we ndo kiboko ya waganga (hee)
aah! mungu wang mm mpenda haki (mmh! )
alipogundua sina wa ubav hakusita kunipa shosti
kwa dhambi ya udhinifu nakili mi ni mkosefu
amenilinda mechi nying uwanjani nimechza peku
wabariki mashabiki bila nyinyi hakuna mm
mungu juu si ni chini ukiomba wizi ye akunyimi
yuko peace tu na nyinyi
hata uvae saa ya ukutani
ujukuu wake utafika lini??( hey)
kalijua jiji kamekua kagwiji
kanaomba na zigi kanatoa bangi??
duah haziskiki mmekosa misingi
nyumba ya ibada mnasnap ni upimbi
hellow God eeh! sjui ka unajua
makalio ndo yanaongoza kutusumbua
mtoto mzuri akipost comment 860
ila mnyabi nikipost awe ntajilike mm
eti wenye hela wanatusema masikini
chajabu nao wanakufa haki ya mama siamini
eeh nesi nabelea wanaona ndo maisha (wapumbavu)
kweli watapata wa kuwapumzisha
sikuiz pastor kawa mwanasiasa
anatuchanganya waumini awee tumedata
nasubir iyo safari ya japan ni utata
nakuna mmoja kanambia (uncle kanyaga mafuta)
nasi na pupa ya maisha nikijibanza kama stone
huku nikihustle hard pesa iwe kibindoni
nabangaiza root to duniani
poteza pesa ukipoteza maisha tupo lehani
asee kaz juu ya kaz nikiunganisha na prayer
nafkili bila mungu maishani ningepotea
kaz juu ya kaz sinaa muda wa kuchezeya
mi natafuta pesa we nenda tafuta babycare
siunajua na mitaa inatufundisha ukomando
usibishe maana manzese pia kuna rambo
ingekua vp anga bila ardhi,devo bila lord
ingekuwa vp father bila son, tecno bila i phone
ingekuwa vp country bila people, pete bila kito
ingekuwa vp ziwa bila mito yiiii
na zang shida natatua yee niacha dailema
pesa na bebe znaingia kish bila kudema (mmmh!)
sio wa kubeng kubengbeng
nizameklabu nin'goe bitch mixer cruebengbeng
AM OUT