BABA MWEMA Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2024
Lyrics
Nasimama jili yako Baba
Mungu wangu Wewe umuweza
Nitakuimbia nikupe sifa
Umeniinua Baba umenisimamisha wima
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Ulonitendea sitosahau kamwe
Ndiposa nasema nasimama jili Yako
Nilipofika mwisho Baba Wee ulinijia
Ukasimama nami ukainua imani yangu Baba yangu eehh
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Walinikashifu waondoe imani yangu
Ukanidumisha hata ukakaa nami
Walingoja sana nianguke waniseme
Ukaniinua Wee uishie milele Baba mwema eehh
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Maradhi yalinipata wakafurahia
Hata kifo changu wakaanza kutabiri
Lakini Mungu wangu kweli wanijali
Kwani uliniponya wote wakaaibika nakuinua eehh
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu
Baba Baba mwema pokea sifa Wewe uishiye milele
Baba Baba mwema nitakuinua siku za maisha yangu